Mazuri

Nitaona mazuri

Najua mimi najua

Nitaona mazuri

Mazuri, mazuri aaah

Nitaona mazuri

Mazuri, mazuri aaah

Nitaona mazuri

Na sufuria zangu

Lazima zitapika nyama siku moja

Na hii mikono yangu

Lazima iendeshe gari siku moja

Na hii miguu yangu

Lazima ikanyage ng’ambo siku moja

Na majirani zangu

Lazima wataniheshimu siku moja

Kuna vile vitu zitakuwa better one day

Nipate furaha ka smile ka better one day

Wazazi wa bibi wamepanga kaende

Life yangu iko dry rafiki zangu ni mende

Bora imani yangu isimame (Isimame)

Nitaona mema si hasara (Hasara)

Bora imani yangu isimame (Isimame)

Nitaona mema si hasara

Hata kama (Kama) mazuri yote sitayaona hapa

Najua, najua siku moja nitamuona Baba

Hata kama (Kama) mazuri yote sitayaona hapa

Najua, najua siku moja nitamuona Baba

Najua mimi najua

Nitaona mazuri

Najua mimi najua

Nitaona mazuri

Mazuri, mazuri aaah

Nitaona mazuri

Mazuri, mazuri aaah

Nitaona mazuri

Maombi yangu anayasikia

Nina imani atanijibia

Walionicheka na kunichukia

Nitashinda watashangilia

Maombi yangu anayasikia

Nina imani atanijibia

Walionicheka na kunichukia

Nitashinda watashangilia

Ooh na jina

Atanibadilisha jina

Eeh Jah na hekima

Anipe bila kupima

Na walionisaliti nikae nao fiti

Hilo ndio ombi langu

Eey ninao marafiki anipe wafiti

Hilo ndio ombi langu

Hey mazuri, mazuri

Nitaonana hey

Hey mazuri, mazuri

Nitaonana hey

Najua mimi najua

Nitaona mazuri

Najua mimi najua

Nitaona mazuri

Mazuri, mazuri aaah

Nitaona mazuri

Mazuri, mazuri aaah

Nitaona mazuri

Najua mimi najua

Nitaona mazuri

Najua mimi najua

Nitaona mazuri

Mazuri, mazuri aaah

Nitaona mazuri

Mazuri, mazuri aaah

Nitaona mazuri

Eh mazuri yeah yeah yeah

Eh mazuri yeah yeah yeah

Mazuri yeah yeah yeah

Nitaona, nitaona ah ah

Nitaona, nitaona ah ah

(Mazuri)

Mazuri Video

Search for song or artist
New Lyrics
Submit Lyrics

Would you like to contribute lyrics? Please submit them here.

Browse artists