Africa Itainuka

Africa yote itainuka, kutangaza wema wako

Dunia Yote itainuka, kulisifu Jina lako

Enzi ni yako na utukufu Bwana, Haha… iyelele

Tumeona wema wako, tumeona nguvu zako

Tumekuja mbele zako, twatukuza Jina lako.

Tukulipe nini Bwana kwa ukarimu wako uliotutendea

Twaimba sifa zako.

Umefanya mambo ya ajabu Umetenda mambo ya ajabu

Umefanya mambo ya ajabu Umetenda mambo ya ajabu

Tumeona wema wako, tumeona

nguvu zako

Tumekuja mbele zako, twatukuza jina lako.

Search for song or artist
New Lyrics
Submit Lyrics

Would you like to contribute lyrics? Please submit them here.

Browse artists